Tanzania logo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

TANGAZO LA MNADA

TANGAZO LA MNADA

Wananchi wote mnatangaziwa kwamba, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi itauza kwa njia ya Mnada wa Hadhara Samani, Gari, Mitambo na vifaa mbalimbali chakavu katika Ofisi zake za Dodoma, Dar es salaam, Tabora na Katavi kwa tarehe kama ilivyooneshwa hapa chini.

13/Agosti/ 2024

Ofisi za Wizara Mtumba - Dodoma

Meza, Viti, Kabati, Printer, Scanner, UPS, Monitor, CPU

6/Agosti/2024

Ofisi za Wizara - Dar es salaam

Meza, Viti, Kabati, Printer, Scanner, UPS, Monitor

16/Julai/2024

Makazi ya Wakimbizi Ulyankulu Tabora

Meza, Viti, Taa, Jenereta, Printer, Scanner, UPS, Gari aina ya LandRover na Jeep

                       19/Julai/2024              Ofisi ya ya Wakimbizi Mkoa wa Katavi Meza, Viti, Jenereta, Printer, Scanner, UPS, Monitor

MASHARTI YA MNADA

1.  Mali itauzwa kama ilivyo mahali ilipo;

2.  Mnunuzia atalazimika kulipa papohapo (100%) thamani ya samani/Kifaa alichonunua kama ilivyofikiwa katika mnada. Aidha, kwa vyombo vya moto Mnunuzi atatakiwa kulipa papohapo amana (deposit) isiyopungua asilimia ishirini na tano (25%) ya thamani ya Chombo alichonunua, na kukamilisha malipo yote katika muda wa siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya mnada. Mnunuzi akishindwa kutimiza sharti hili atakosa haki zote za ununuzi wa Chombo husika na amana iliyolipwa haitarudishwa,

3.  Mnunuzi atatakiwa kuondoa/kuchukua mali aliyonunua mara baada ya kukamilisha malipo;

4.  Ruhusa ya kuangalia mali itatolewa siku moja (1) kabla ya tarehe ya mnada husika;

6. Mnada utaanza saa Nne (04:00) asubuhi katika kila kituo.

Ole-Mbille Kissioki

KAIMU KATIBU MKUU