Tanzania logo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Dira na Dhima

Dira

Dira ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ni kuwa Wizara ambayo itaifanya nchi yetu kuwa na amani na utulivu, mahali ambapo sheria zinaheshimika.

Dhima

Dhamira ya Wizara ya mambo ya ndani ya Nchi ni kulinda maisha na mali, kuwezesha na kuthibiti utokaji na uingiaji nchini kwa raia na wageni, kuwarekebisha wafungwa na kutoa huduma kwa wakimbizi waliopo nchini.